عربيEnglish

The Noble Qur'an Encyclopedia

Towards providing reliable exegeses and translations of the meanings of the Noble Qur'an in the world languages

The Chargers [Al-Adiyat] - Swahili translation - Ali Muhsen Al-Berwani

Surah The Chargers [Al-Adiyat] Ayah 11 Location Maccah Number 100

Naapa kwa farasi wendao mbio wakipumua, [1]

Na wakitoa moto kwa kupiga kwato zao chini, [2]

Wakishambulia wakati wa asubuhi, [3]

Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi! [6]

Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo! [7]

Naye hakika bila ya shaka ana nguvu za kupenda mali! [8]

Kuwa hakika Mola wao Mlezi siku hiyo bila ya shaka atakuwa na khabari zao wote! [11]