عربيEnglish

The Noble Qur'an Encyclopedia

Towards providing reliable exegeses and translations of the meanings of the Noble Qur'an in the world languages

The Poets [Ash-Shuara] - Swahili translation - Ali Muhsen Al-Berwani

Surah The Poets [Ash-Shuara] Ayah 227 Location Maccah Number 26

T'aa Siin Miim. (T'.S.M.) . [1]

Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu. [9]

Na wao wana kisasi juu yangu, kwa hivyo naogopa wasije kuniuwa. [14]

Akasema: Siyo hivyo kabisa! Nendeni na miujiza yetu. Hakika Sisi tu pamoja nanyi, tunasikiliza. [15]

Basi mfikieni Firauni na mwambieni: Hakika sisi ni Mitume wa Mola Mlezi wa walimwengu wote. [16]

(Musa) akasema: Nilitenda hayo hapo nilipo kuwa miongoni mwa wale walio potea. [20]

Basi nilikukimbieni nilipo kuogopeni, tena Mola wangu Mlezi, akanitunukia hukumu, na akanijaali niwe miongoni mwa Mitume. [21]

Firauni akasema: Na nani huyo Mola Mlezi wa walimwengu wote? [23]

(Musa) akasema: Ndiye Mola wenu Mlezi, na Mola Mlezi wa baba zenu wa kwanza. [26]

. (Musa) akasema: Ndiye Mola Mlezi wa Mashariki na Magharibi na viliomo baina yao, ikiwa nyinyi mnatia akilini. [28]

(Firauni) akasema: Ukimfuata mungu mwengine asiye kuwa mimi, basi bila ya shaka nitakufunga gerezani. [29]

Akasema: Je! Ijapo kuwa nitakuletea kitu cha kubainisha wazi? [30]

Basi akaitupa fimbo yake, mara ikawa nyoka wa kuonekana dhaahiri. [32]

(Firauni) akawaambia waheshimiwa walio mzunguka: Hakika huyu ni mchawi mtaalamu. [34]

Na sisi ni wengi, wenye kuchukua hadhari. [56]

Basi wakawafuata lilipo chomoza jua. [60]

Na yalipo onana majeshi mawili haya, watu wa Musa wakasema: Hakika sisi bila ya shaka tumepatikana! [61]

(Musa) akasema: Hasha! Hakika yu pamoja nami Mola wangu Mlezi. Yeye ataniongoa! [62]

Hakika bila ya shaka katika hayo ipo Ishara; lakini wengi wao si katika wenye kuamini. [67]

Na kwa hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu. [68]

Kwani hakika hao ni adui zangu, isipo kuwa Mola Mlezi wa walimwengu wote. [77]

Ambaye ndiye aliye niumba, na Yeye ndiye ananiongoa, [78]

Na ninapo ugua ni Yeye ndiye anaye niponesha. [80]

Mola wangu Mlezi! Nitunukie hukumu na uniunganishe na watendao mema. [83]

Na unijaalie nitajwe kwa wema na watu watakao kuja baadaye. [84]

Na umsamehe baba yangu, kwani hakika alikuwa miongoni mwa wapotovu. [86]

Siku ambayo kwamba mali hayato faa kitu wala wana. [88]

Isipo kuwa mwenye kumjia Mwenyezi Mungu na moyo safi. [89]

Badala ya Mwenyezi Mungu? Je! Wanakusaidieni, au wanajisaidia wenyewe? [93]

Wallahi! Kwa yakini tulikuwa katika upotovu ulio dhaahiri, [97]

Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote. [98]

Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote. [99]

Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu. [104]

Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu. [107]

Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi. [108]

Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi. [110]

Mimi si cho chote ila ni Mwonyaji wa dhaahiri shaahiri. [115]

Akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika watu wangu wamenikanusha. [117]

Kwa hivyo tukamwokoa yeye na walio kuwa pamoja naye katika marikebu iliyo sheheni. [119]

Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi. [125]

Je! Mnajenga juu ya kila mnyanyuko kumbusho la kufanyia upuuzi? [128]

Haya si chochote ila ni mtindo wa watu wa tokea zamani. [137]

Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu. [140]

Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu. [143]

Je! Mtaachwa salama usalimina katika haya yaliyopo hapa? [146]

Katika mabustani, na chemchem? [147]

Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi. [150]

Akasema: Huyu ngamia jike; awe na zamu yake ya kunywa, na nyinyi muwe na zamu yenu ya kunywa katika siku maalumu. [155]

Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu. [159]

Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu kwenu. [162]

Basi mcheni Mwenyezi Mungu na nit'iini mimi. [163]

Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu. [168]

Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo. [169]

Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma. [171]

Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu. [175]

Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu. [178]

Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi. [179]

Akasema: Mola wangu Mlezi anajua zaidi mnayo yatenda. [188]

Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu. [191]

Na bila ya shaka hii ni Uteremsho wa Mola Mlezi wa walimwengu wote. [192]

Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale. [196]

Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu,. [198]

Kuwa ni ukumbusho. Wala Sisi hatukuwa wenye kudhulumu. [209]

Na umtegemee Mtukufu Mwenye nguvu Mwenye kurehemu. [217]

Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia Mwenye kujua. [220]

Wanawapelekea yale wanayo yasikia; na wengi wao ni waongo. [223]