عربيEnglish

The Noble Qur'an Encyclopedia

Towards providing reliable exegeses and translations of the meanings of the Noble Qur'an in the world languages

The Smoke [Ad-Dukhan] - Swahili translation - Ali Muhsen Al-Berwani

Surah The Smoke [Ad-Dukhan] Ayah 59 Location Maccah Number 44

H'a Mim . [1]

Naapa kwa Kitabu kinacho bainisha! [2]

Katika usiku huu hubainishwa kila jambo la hikima! [4]

Ni rehema itokayo kwa Mola wako Mlezi. Hakika Yeye ni Mwenye kusikia Mwenye kujua. [6]

Na wao wakamgeuzia uso, na wakasema: Huyu amefunzwa, naye ni mwendawazimu. [14]

Hakika sisi tutaiondoa adhabu kidogo, lakini nyinyi kwa yakini mtarejea vile vile! [15]

Siku tutayo yashambulia mashambulio makubwa, bila ya shaka Sisi ni wenye kutesa. [16]

Nami najikinga kwa Mola wangu Mlezi na ndiye Mola wenu Mlezi pia, ili msinipige mawe. [20]

Mwenyezi Mungu akasema: Basi nenda na waja wangu usiku. Kwa yakini mtafuatwa. [23]

Na iache bahari vivyo hivyo imeachana, hakika wao hao ni jeshi litakalo zamishwa. [24]

Mabustani mangapi, na chemchem ngapi waliziacha! [25]

Isipo kuwa atakaye mrehemu Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu. [42]

Ni chakula cha mwenye dhambi. [44]

Kama shaba iliyo yayushwa, hutokota matumboni [45]

Kama kutokota kwa maji ya moto. [46]

Hakika wachamngu watakuwa katika mahali pa amani, [51]

Katika mabustani na chemchem, [52]

Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini. [54]

Kuwa ni fadhila zitokazo kwa Mola wako Mlezi. Huko ndiko kufuzu kukubwa. [57]