عربيEnglish

The Noble Qur'an Encyclopedia

Towards providing reliable exegeses and translations of the meanings of the Noble Qur'an in the world languages

The moon [Al-Qamar] - Swahili translation - Ali Muhsen Al-Berwani

Surah The moon [Al-Qamar] Ayah 55 Location Maccah Number 54

Basi akamwomba Mola wake Mlezi akasema: Kwa hakika mimi nimeshindwa, basi ninusuru! [10]

Ikawa inakwenda kwa nadhari yetu, kuwa ni malipo kwa alivyo kuwa amekanushwa. [14]

Na bila ya shaka tuliiacha iwe ni Ishara. Lakini je, yupo anaye kumbuka? [15]

Basi ilikuwaje adhabu yangu, na maonyo yangu. [16]

Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani iwe nyepesi kufahamika. Lakini yupo anaye kumbuka? [17]

Kina A'di walikanusha. Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu? [18]

Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu? [21]

Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani nyepesi kufahamika; lakini yupo anaye kumbuka? [22]

Ni yeye tu aliye teremshiwa huo ukumbusho kati yetu sote? Bali huyu ni mwongo mwenye kiburi! [25]

Na waambie kwamba maji yatagawanywa baina yao; kila sehemu ya maji itahudhuriwa na aliye khusika. [28]

Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu! [30]

Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani iwe nyepesi kwa kukumbuka, lakini yupo akumbukaye? [32]

Hakika Sisi tukawapelekea kimbunga cha vijiwe, isipo kuwa wafuasi wa Lut'i. Hao tuliwaokoa karibu na alfajiri. [34]

Na hakika yeye aliwaonya adhabu yetu; lakini wao waliyatilia shaka hayo maonyo. [36]

Basi onjeni adhabu na maonyo yangu!< [39]

Bali Saa ya Kiyama ndio miadi yao, na Saa hiyo ni nzito zaidi na chungu zaidi. [46]

Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka? [51]