عربيEnglish

The Noble Qur'an Encyclopedia

Towards providing reliable exegeses and translations of the meanings of the Noble Qur'an in the world languages

The emissaries [Al-Mursalat] - Swahili translation - Ali Muhsen Al-Berwani

Surah The emissaries [Al-Mursalat] Ayah 50 Location Maccah Number 77

Naapa kwa zinazo tumwa kwa upole! [1]

Na zinazo farikisha zikatawanya! [4]

Hakika mnayo ahidiwa bila ya shaka yatakuwa! [7]

Na Mitume watakapo wekewa wakati wao, [11]

Kwa siku gani hiyo wamewekewa muda huo? [12]

Kwa siku ya kupambanua! [13]

Na nini kitakacho kujuulisha siku ya kupambanua ni nini? [14]

Kwani hatukuwaangamiza walio tangulia? [16]

Kisha tukayaweka mahali pa utulivu madhubuti? [21]

Kama kwamba ni ngamia wa rangi ya manjano! [33]

Hii ni siku ambayo hawatatamka kitu, [35]

Hii ndiyo siku ya kupambanua. Tumekukusanyeni nyinyi na walio tangulia. [38]

Hakika wachamngu watakuwa katika vivuli na chemchem, [41]

Hakika ndio kama hivyo tunavyo walipa watendao mema. [44]