عربيEnglish

The Noble Qur'an Encyclopedia

Towards providing reliable exegeses and translations of the meanings of the Noble Qur'an in the world languages

He Frowned [Abasa] - Swahili translation - Ali Muhsen Al-Berwani

Surah He Frowned [Abasa] Ayah 42 Location Maccah Number 80

Alikunja kipaji na akageuka! [1]

Na nini kitakujuulisha pengine yeye atatakasika? [3]

Yamo katika kurasa zilizo hishimiwa, [13]

Zimo mikononi mwa Malaika waandishi, [15]

Ameangamia mwanaadamu! Nini kinacho mkufurisha? [17]

Na zabibu, na mimea ya majani, [28]

Na bustani zenye miti iliyo songana baraabara, [30]

Na matunda, na malisho ya wanyama; [31]