عربيEnglish

The Noble Qur'an Encyclopedia

Towards providing reliable exegeses and translations of the meanings of the Noble Qur'an in the world languages

The Overthrowing [At-Takwir] - Swahili translation - Ali Muhsen Al-Berwani

Surah The Overthrowing [At-Takwir] Ayah 29 Location Maccah Number 81

Na ngamia wenye mimba pevu watakapo achwa wasishughulikiwe, [4]

Na wanyama wa mwituni wakakusanywa! [5]

Na msichana aliye zikwa hai atapo ulizwa! [8]

Zinazo kwenda, kisha zikajificha, [16]

Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu, [19]

Mwenye nguvu na mwenye cheo kwa huyo Mwenye Kiti cha Enzi, [20]

Anaye t'iiwa, tena muaminifu. [21]

Na hakika yeye alimwona kwenye upeo wa macho ulio safi. [23]

Haikuwa hii ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote. [27]

Kwa yule miongoni mwenu anaye taka kwenda sawa. [28]

Wala nyinyi hamtataka isipo kuwa atake Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa walimwengu wote. [29]