عربيEnglish

The Noble Qur'an Encyclopedia

Towards providing reliable exegeses and translations of the meanings of the Noble Qur'an in the world languages

The Cleaving [AL-Infitar] - Swahili translation - Ali Muhsen Al-Berwani

Surah The Cleaving [AL-Infitar] Ayah 19 Location Maccah Number 82

Hapo kila nafsi itajua ilicho tanguliza, na ilicho bakisha nyuma. [5]

Sivyo hivyo! Bali nyinyi mnaikanusha Siku ya Malipo. [9]

Na hakika bila ya shaka wapo walinzi juu yenu, [10]

Hakika wema bila ya shaka watakuwa katika neema, [13]

Na hakika waovu bila ya shaka watakuwa Motoni; [14]

Na nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani? [17]

Tena nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani? [18]

Siku ambayo nafsi haitakuwa na madaraka yoyote juu ya nafsi; na amri yote siku hiyo ni ya Mwenyezi Mungu tu. [19]