عربيEnglish

The Noble Qur'an Encyclopedia

Towards providing reliable exegeses and translations of the meanings of the Noble Qur'an in the world languages

Defrauding [Al-Mutaffifin] - Swahili translation - Ali Muhsen Al-Berwani

Surah Defrauding [Al-Mutaffifin] Ayah 36 Location Maccah Number 83

Katika Siku iliyo kuu! [5]

Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin. [7]

Kitabu kilicho andikwa. [9]

Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi. [15]

Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I'liyyin. [18]

Kitabu kilicho andikwa. [20]

Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika neema. [22]

Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia. [23]

Watanyweshwa kinywaji safi kiliyo tiwa muhuri, [25]

Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia. [35]

Je! makafiri wamelipwa malipo ya yale waliyo kuwa wakiyatenda? [36]