عربيEnglish

The Noble Qur'an Encyclopedia

Towards providing reliable exegeses and translations of the meanings of the Noble Qur'an in the world languages

The Dawn [Al-Fajr] - Swahili translation - Ali Muhsen Al-Berwani

Surah The Dawn [Al-Fajr] Ayah 30 Location Maccah Number 89

Naapa kwa alfajiri! [1]

Na kwa viwili viwili na kimoja kimoja! [3]

Je! Hapana katika haya kiapo kwa mwenye akili? [5]

Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di? [6]

Wa Iram, wenye majumba marefu? [7]

Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia. [14]

Wala hatafunga yeyote kama kufunga kwake. [26]

Basi ingia miongoni mwa waja wangu, [29]

Na ingia katika Pepo yangu. [30]