عربيEnglish

The Noble Qur'an Encyclopedia

Towards providing reliable exegeses and translations of the meanings of the Noble Qur'an in the world languages

The City [Al-Balad] - Swahili translation - Ali Muhsen Al-Berwani

Surah The City [Al-Balad] Ayah 20 Location Maccah Number 90

Na naapa kwa mzazi na alicho kizaa. [3]

Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona? [7]

Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani. [11]

Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani? [12]

Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kila upande. [20]