عربيEnglish

The Noble Qur'an Encyclopedia

Towards providing reliable exegeses and translations of the meanings of the Noble Qur'an in the world languages

The night [Al-Lail] - Swahili translation - Ali Muhsen Al-Berwani

Surah The night [Al-Lail] Ayah 21 Location Maccah Number 92

Hakika juhudi zenu bila ya shaka ni mbali mbali. [4]

Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake! [8]

Hakika ni juu yetu kuonyesha uwongofu. [12]

Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa. [18]

Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliye mfanyia hisani ndio anamlipa. [19]